• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

KAMATI YA SIASA WILAYA YA MTWARA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA

Posted on: January 24th, 2023

Kamati ya siasa Wilaya ya Mtwara ikiambatana na Mkuu wa Walaya imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara.Jumla ya miradi 7 yenye thamani ya Tsh 3,292,448,361 ilikaguliwa. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Shule ya Sekondari Mkunwa wenye thamani ya Tsh 470,000,000 pesa zilizopokelewa kutoka program ya SEQUIP, mradi wa Barabara Nanguruwe – Mkunwa yenye umbali wa Kilomita 1.7 wenye thamani ya Tsh 947,139,000 pesa kutoka Serikali kuu, mradi wa Bweni la watu wenye ulemavu shule ya Msingi Nanguruwe wenye thamani ya Tsh 100,000,000 pesa zilizopokelewa kutoka Serikali kuu, mradi wa maji Mitambo Msimbati wenye thamani ya Tsh 1,570,759,861 pesa zilizopokelewa kutoka program ya Ep4r, mradi huu utawezesha upatikanaji wa maji ndani ya vijiji 7 ambavyo ni Mitambo, Msimbati , Mnuo, , Luvula Litembe, Mtandi na  Mngoji. Mradi wa Zahanati ya Mngoji wenye thamani ya Tsh 100,000,000 pesa zilizopatikana kutoka TPDC. Mradi mwengine ni mradi wa kikundi cha vijana kilichopatiwa mkopo wa Tsh 14,000,000 ukiwa ni mkopo wa asilimia 10 pesa zinazotolewa na Halmashauri na mradi wa mwisho ni mradi wa ujenzi wa visima viwili vya kuvuna maji ya mvua Msangamkuu wenye thamani ya Tsh 14,000,000 pesa zilizotolewa na mfuko wa maendeleo ya jamii Tasaf.

Aidha akiongea mbele ya wananchi Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mtwara Ndg Nashiri Pontia alisema ziara hii ni matakwa ya kisheria ndani ya chama ikiwa na lengo la kupata uwelewa wa pamoja kwenye miradi inayotekelezwa ndani ya Halmashauri. Mwisho akifananisha na Halmashauri zingine alipongeza na kuridhika na utendaji kazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WALIOFAULU USAILI January 18, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KUKIMBIZA MWENGE WA UHURU April 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI DAFTARI LA MPIGA KURA 2024 January 09, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI September 16, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MHE. SAWALA AWATAKA WAFANYAKAZI WA MTWARA KUIPENDA MTWARA

    May 01, 2025
  • DED KAFUNDA AWAASA MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA KWENDA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    January 22, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: dedmtwara@mtwaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2023 MTWARA DC . All rights reserved.