• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

Maji na Umwagiliaji


TAARIFA YA IDARA YA MAJI HALMASHAURI YA WILAYA MTWARA


HALI YA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI HALMASHAURI YA   WILAYA YA MTWARA

UTANGULIZI

Halmashauri ya wilaya ya Mtwara ina jumla ya vijiji 110 kwa idadi ya watu 127,440 (sensa 2012) kati ya watu hao 57,335 wanapata huduma ya maji safi na salama ni sawa na asilimia arobaini na tano (45%). Asilimia hamsini na tano (55%) ya watu waliobaki 70,105 hawapati maji safi na salama na hutembea umbali mrefu kutafuta maji kinyume na sera ya maji inayosema maji yapatikane kwa umbali usiozidi mita 400. Ifikapo mwaka 2020 huduma hii itaongezeka hadi kufikia asilimia 85% kutokana na miradi ya vijiji kumi inayoendelea na utekelezaji kupitia program ya kitaifa ya maji na usafi wa mazingira pamoja na ukarabati wa miradi isiyotoa huduma kutokana na kuchakaa kwa miundombinu yake.

Halmashauri ya wilaya ya Mtwara inategemea maji ya visima virefu, visima vifupi vyenye pampu ya mkono, teknolojia ya uvunaji maji ya mvua, mitandao ya miradi ya maji ya bomba na mabwawa. 

 

HALI YA MIUNDOMBINU YA MAJI

Miradi ya iliyofungwa pampu imegawanyika katika sehemu mbalimbali ambavyo ni visima virefu na visima vifupi.

Ifuatayo ni hali ya miundombinu iliyopo katika halmashauri ya wilaya mtwara.

Na

Aina ya Miradi

Iliyopo

Inayofanya kazi

Isiyofanya kazi

1
Visima virefu vyenye pampu ya mkono.

32

10

12

2
Visima vifupi vyenye pampu ya mkono

42

21

21

3
Mabwawa

2

2

0

4
Matenki ya kuvunia maji ya mvua.

235

135

100

5
Mtandao wa maji ya mabomba

20

13

7

Halmashauri ina jumla ya jumuiya za watumiaji maji (COWSO) 18 ambapo Jumuiya zote zimesajiliwa kisheria na kupatiwa vyeti. Jumuiya hizo ni

  • Jumuiya ya watumiaji maji Mbawala.
  • Jumuiya ya watumiaji maji Libobe.
  • Jumuiya ya watumiaji maji Kilambo
  • Jumuiya ya watumiaji maji Dihimba
  • Jumuiya ya watumiaji maji Mayaya
  • Jumuiya ya watumiaji maji Kitere
  • Jumuiya ya watumiaji maji Chemchem
  • Jumuiya ya watumiaji maji Mpapura
  • Jumuiya ya watumiaji maji Naumbu
  • Jumuiya ya watumiaji maji Nanguruwe
  • Jumuiya ya watumiaji maji Msangamkuu
  • Jumuiya ya watumiaji maji Kihimika
  • Jumuiya ya watumiaji maji Kitunguli
  • Jumuiya ya watumiaji maji Tangazo
  • Jumuiya ya watumiaji maji Mahulunga
  • Jumuiya ya watumiaji maji Litembe
  • Jumuiya ya watumiaji maji Minyembe
  • Jumuiya ya watumiaji maji Ndumbwe

Halmashauri ya wilaya ya Mtwara ina jumla ya miradi ya maji 20 ya bomba ambayo imefungwa pampu ya umeme wa TANESCO/Solar pamoja na mechanical generator. Kati ya miradi hiyo miradi 13 imekwisha kamilika na miradi 7 iliyobaki ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji na ukamilishwaji.

Ifuatayo ni miradi iliyokamilika na inatoa huduma kwa jamii.

  • Mradi wa maji Mbuo
  • Mradi wa maji Libobe
  • Mradi wa maji Chemchem
  • Mradi wa maji Tangazo
  • Mradi wa maji Kilambo
  • Mradi wa maji Mahulunga
  • Mradi wa maji Mayaya
  • Mradi wa maji Naumbu
  • Mradi wa maji Mbawala
  • Mradi wa maji Mpapura
  • Mradi wa maji Mbawala
  • Mradi wa maji Dihimba
  • Mradi wa maji Kitunguli

Ifuatayo ni miradi iliyopo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji.

  • Mradi wa maji Namuhi
  • Mradi wa maji Msangamkuu
  • Mradi wa maji Namanjele
  • Mradi wa maji Nanguruwe
  • Mradi wa maji Ndumbwe
  • Mradi wa maji Mkutimango
  • Mradi wa maji Ilala

Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WALIOFAULU USAILI January 18, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KUKIMBIZA MWENGE WA UHURU April 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI DAFTARI LA MPIGA KURA 2024 January 09, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI September 16, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MHE. SAWALA AWATAKA WAFANYAKAZI WA MTWARA KUIPENDA MTWARA

    May 01, 2025
  • DED KAFUNDA AWAASA MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA KWENDA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    January 22, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: dedmtwara@mtwaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2023 MTWARA DC . All rights reserved.