• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

Halmashauri yapaa kimapato

Posted on: June 13th, 2020


Na Afisa habari.

Usimamizi bora wa sheria na kanuni za fedha umeiwezesha halmashauri ya wilaya ya mtwara kupaa katika ukusanyaji wa mapato kutoa bilioni 1.4 mwaka 2015 hadi bilioni 2.5 mwaka 2020 na hivyo ongezeko kuwa zaidi ya asilimia 10 kila mwaka ndani ya miaka mitano.

Taarifa hiyo imeelezwa na afisa mipango Thomas Luambano aliyewasilisha kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji mbele ya waheshimiwa madiwani na wataalamu wa sekretarieti ya mkoa katika mkutano maalumu wa baraza la madiwani uliofanyika mkunwa tarehe 09 Juni mwaka huu.

Aliendelea kusema kuwa, kwa kipindi cha miaka mitano 2015 hadi 2020 halmashauri ilikisia kukusanya jumla ya Tzs. 11,914,571,378.00 ambapo hadi Juni mwaka huu imefanikiwa kukusanya Tzs. 10,546,986,455.45 ambapo ni wastani wa asilimia 89 kwa kila mwaka huku mwaka wa fedha 2018/2019 mapato yalivuka lengo na kufikia asilimia 102.6.

Aidha mkurugenzi mtendaji Qs. Omari J. Kipanga, aliongeza kuwa mafanikio hayo ni matokeo ya wataalam na waheshimiwa kufanya kazi kwa ushirikiano ambapo ulisaidia kufanya ubunifu wa vyanzo vipya vya mapato na kutekeleza miradi ya kimkakati kama vile ujenzi wa soko la samaki la msanga mkuu, pamoja na matumizi sahihi ya mfumo wa makusanyo kupitia mashine za kielektroniki “POS”.

Kuimarika kwa mapato kumesaidia upatikanaji wa mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa jamii na kuimarisha mfumo wa uwezeshaji wananchi kiuchumi.

Pamoja na ongezeko la mapato ya ndani, waheshimiwa madiwani kupitia kwa mwenyekiti alhaji Mussa S. Ndazigula amemshukuru mkurugenzi kwa ushirikiano, uvumilivu na usikivu alioonesha kwa kipindi chote cha usimamizi na kuiongoza taasisi, mfano mzuri ni upatikanaji wa Hati Safi kupitia taarifa ya mkaguzi wa mahesabu ya serikali.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WALIOFAULU USAILI January 18, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KUKIMBIZA MWENGE WA UHURU April 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI DAFTARI LA MPIGA KURA 2024 January 09, 2025
  • TANGAZO LA UCHAGUZI September 16, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MHE. SAWALA AWATAKA WAFANYAKAZI WA MTWARA KUIPENDA MTWARA

    May 01, 2025
  • DED KAFUNDA AWAASA MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA KWENDA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    January 22, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • KATIBU WA CCM MKOA WA MTWARA APONGEZA USIMAMIZI WA MIRADI YA ZAIDI YA MILIONI 800 MTWARA DC

    January 07, 2025
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: dedmtwara@mtwaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2023 MTWARA DC . All rights reserved.