• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

DC MSABAHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU 2023

Posted on: February 18th, 2023

Mapema leo February 18, 2023 Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Hanafi Msabaha amefanya ziara ya kukagua miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara.

Miradi hiyo yenye thamani ya Zaidi ya Tsh. Bil 2.2 ndio miradi iliyopendekezwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru 2023.

Aidha miradi hiyo ni pamoja na Shamba la Mikorosho lililopo Kijiji cha Mayaya kata ya Madimba lenye Thamani ya Tsh. Milioni 150,000,000/= Pesa kutoka kwa Wananchi.

Mradi wa Maji uliopo Kijiji cha Mwindi kata ya Mbawala wenye thamani ya Tsh. Milioni 800,000,000/= pesa iliyopatikana kutoka Serikali Kuu.

Mradi wa Bweni la Wasichama wenye mahitaji maalumu lililopo Kijiji cha Nanguruwe kata ya Nanguruwe mradi huu unathamani ya Tsh. Milioni 100,000,000/= pesa kutoka Serikali Kuu.

Aidha mradi mwingine ni Pamoja na Barabaara yenye urefu wa KM 1.7 Nanguruwe – Mkunwa mradi wenye thamani ya Tsh. Milion 949,139,000/= pesa iliyotolewa na Serikali Kuu.

Mradi wa Mwisho ni mradi wa ufugaji wa kuku uliopo Kijiji cha Hiyari kata ya Mayanga wenye mradi wenye thamani ya Tsh.180,000,000/= pesa za wananchi.

Aidha baada ya kusikiliza taarifa mbalimbali za miradi hiyo Mhe. Msabaha aliagiza ukamilifu wa Document zote kabla ya kufikia siku ya mapokezi ya  mwenge wa Uhuru. Pia alitaka kuwepo na hesabu kamili ya nini kimefanyika .

Mwisho aliwaomba viongozi wa kata na Vijiji kusaidia utoaji wa hamasa kwa Wananchi na kushirikishwa wadau wote vikiwemo vyama vyote vya siasa kwa ujumla wake.

Matangazo

  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 December 14, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • DC MSABAHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU 2023

    February 18, 2023
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA MTWARA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA

    January 24, 2023
  • MRADI WA BOOST KUBORESHA ELIMU YA AWALI NA MSINGI

    December 22, 2022
  • Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023

    December 14, 2022
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: dedmtwara@mtwaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2023 MTWARA DC . All rights reserved.