• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

Ufugaji na Uvuvi

Halmashauri ina eneo la bahari kwa upande wa mashariki lenye urefu wa km 125 na vijiji 25, ambapo wakazi wake wanategemea shughuli za uvuvi kama chanzo kikuu cha kuingiza mapato ya kila siku, wavuvi walio wengi bado wanatumia uvuvi wa kawaida kutokana na kukosa zana bora na za kisasa.

kutokana na hilo serikali imeendelea kutoa mikopo kwa vikundi vya wavuvi, pamoja na kuwashawishi wadau mbalimbali wa maendeleo kuwekeza katika sekta hiyo kwa kushirikiana na wavuvi hao kwakuwa sehemu kubwa ya Samaki wanaotumika Mtwara mjini na baadhi ya wilaya zinazopakana nazo wanavuliwa katika ukanda huu.

Eneo la mwambao wa pwani linatumika kwa shughuli za Uvuvi ambapo kwa mwaka 2017 jumla ya kg. 629,100 za samaki zilivuliwa na kutumika, wengi wa samaki hawa wanatumika kwaajili ya matumizi ya nyumbani kupitia wachuuzi wanaonunua kwa minada kisha kuuza kwa kuwatembeza mtaani, asilimia ndogo sana wananunuliwa kisha kusafirishwa sehemu mbalimbali nadani na nje ya mkoa.

Ili kuongeza uzalishaji wa samaki na kuleta uwiano wa uzalishaji, halmashauri imeendelea kutoa elimu kwa wananchi wake kwa kuwashawishi kuanzisha ufugaji wa samaki kwa kutumia mabwawa ya kuchimba, ingawa mwanzoni ilikuwa ngumu kuelewkea lakini kwa sasa kuna kasi kubwa ya ufugaji wa samaki baada ya kuona faida inayopatikana, samaki wanaofugwa na kupendwa na wanunuzi ni Sato, Changu na Mwatiko ambao wameonesha kupata soko kubwa kwa sasa.

Kwa sasa hakuna uwekezaji mkubwa uliofanyika katika sekta hiyo isipokuwa mialo inayotumika na serikali kwaajili ya kukusanya mapato, kuna fursa kubwa ya uwekezaji wa viwanda vya kusindika minofu ya samaki katika eneo la Mtwara Vijijini kwakuwa eneo lililotengwa kwaajili ya viwanda vya usindikaji lipo na limeshapimwa, malighafi kwaajili ya kusidika yapo ya kutosha, nishati kwaajili ya kuendesha mitambo ya viwanda ipo ya kutosha ikiwemo na gesi asilia, vilevile kuna miundo mbinu bora kwaajili ya kusafirisha bidhaa kwaajili ya masoko.


Matangazo

  • TANGAZO LA FURSA YA UFADHILI WA SHAHADA YA UFADHILI May 05, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 05, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI MTWARA DC KUANZA KUTUMIA VISHKWAMBI KATIKA VIKAO

    October 30, 2023
  • MADIWANI NA WATENDAJI WA KATA WAOMBWA KUSIMAMIA VIZURI MIRADI YA MAENDELEO

    May 04, 2023
  • DC MSABAHA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WA UHURU 2023

    February 18, 2023
  • KAMATI YA SIASA WILAYA YA MTWARA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA

    January 24, 2023
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: dedmtwara@mtwaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2023 MTWARA DC . All rights reserved.