• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

MTWANGONET kushambulia kata 8 dhidi ya COVID 19

Posted on: May 22nd, 2020

Na Afisa habari.

Mtandao wa asasi zisizo za kiserikali mkoani mtwara (MTWANGONET) leo 22/05/2020 limezindua kampeni kabambe ya uhamasishaji wa kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya CORONA katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Msingi Msijute, halmashauri ya wilaya ya Mtwara.

 Akitolea maelezo mafupi ya kampeni hiyo, mratibu wa mtwangonet, bi. Fidea Ruanda amebainisha kuwa, elimu itakayotolewa ni shirikishi, ikilenga kuleta uelewa mpana juu ya kujikinga na CORONA, kuamsha ari kwa wadau wengine kujitokea katika kuielimisha jamii ili kuondoa dhana ya kuiachia serikali peke yake..

Aliendelea kusema kuwa, mradi huo utadumu kwa miezi mitatu kuanzia mwezi Mei hadi Julai mwaka huu kulingana na mpango na bajeti yake ukilenga kufanya hamasa katika kata nane za halmashauri ya wilaya ya mtwara zenye wakazi zaidi ya elfu 40 ambapo amezitaja kata hizo kuwa ni Tangazo, Madimba, Moma, Nalingu, Mbawala, Nanguruwe,  Naumbu na Kitere.

Pamoja na matumizi ya wataalamu katika kutoa hamasa, kampeni hiyo itachagizwa na kutoa elimu kwa njia ya vyombo vya habari, kutumia ujumbe mfupi wa meseji za kawaida katika simu za mikononi, kuchapisha mafulana yatakayogawiwa kwa vikosi kazi vya watu kumi kila kata ambao watasaidia kutoa elimu ya kujikinga na virusi vya corona.

Aidha, kikao hicho cha uzinduzi kilihudhuriwa na waheshimiwa madiwani kutoka kata zote nane na wataalamu saba ambapo walilishukuru shirika hilo kwa kuamua kujitoa kusaidia mapambano dhidi ya corona, wameshauri kulifikia kundi la waalimu kwa minajili ya kuwapa elimu ambayo itasaidia katika kuwakinga watoto wa shule pindi zitakapofunguliwa.

Akiongea kwa niaba ya waheshimiwa madiwani, mwenyekiti wa halamsahauri mhe. Mussa S. Ndazigula aliendelea kuishukuru mtwangonet kwa kuwa wawazi na kushirikisha wadau muhimu, ameutaka mradi huo uwafikie pia waumini wa dini zote mbili kwakuwa katika maeneo yao ya kumuomba Mungu yanakutanisha watu wengi wenye kutoka sehemu tofauti.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI February 01, 2021
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA KUFANYIA USAILI February 03, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mtwara DC kufungua sekondari 4 mpya Januari Mwakani

    December 07, 2020
  • Wanaoanzisha migogoro ardhi wapigwa “stop"

    July 06, 2020
  • Naumbu Msangamkuu zanufaika ziara ya DC

    July 01, 2020
  • Halmashauri yapewa wiki mbili kukamilisha madarasa 15

    June 27, 2020
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: Mtwaradc@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2020 MTWARA DC . All rights reserved.