• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Mtwara District Council
Mtwara District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Elimu ya sekondari
      • Elimu Msingi
      • Usafi na Mazingira
      • Maji na Umwagiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Kazi na Kikosi cha Zima Moto.
      • Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana
      • Ardhi,Maliasiri na Mazingira
      • Utawala
      • Mipango,Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kililmo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano.
    • Kamati za Halmashauri
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango
      • Kamati ya Uchumi,Kazi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Uwekezaji
    • Agriculture
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za kijamii
    • Huduma za Kifedha
    • Usambazaji Nishati ya Umeme
    • Maji
  • Madiwani
    • Kata ya Nanguruwe
    • Kata ya Mbawala
    • Kata ya Naumbu
    • Kata ya Ziwani
    • Kata ya Libobe
    • Kata ya Mayanga
    • Kata ya Ndumbwe
    • Kata ya Dihimba
    • Kata ya Mkunwa (HQ)
  • Miradi
    • Miradi Mpya
      • On going Project
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu
    • Zabuni
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio

Halmashauri yapewa wiki mbili kukamilisha madarasa 15

Posted on: June 27th, 2020


Na. Afisa Habari

Mapema Jumamosi ya leo, Mkuu wa wilaya ya Mtwara ndg. Dunstan Kyobya ametoa siku 14 kwa mkurugenzi mtendaji wa halamshauri ya wilaya ya mtwara kuhakikisha anamalizia ujenzi wa maboma ya madarasa 15 ya shule mbalimbali za sekondari ili kuondoa hadha ya watoto kukosa sehemu ya kusomea.

Ameongea hayo leo katika ukumbi wa Chuo cha Uhasibu Tanzania tawi la Mtwara (TIA) uliopo mjimwema wakati akitoa mada elekezi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na utoaji wa huduma katika kikao kazi kilichoshirikisha viongozi na watumishi wa halmashauri tatu zilizopo katika wilaya anayoiongoza ambapo ametoa wito wa umaliziaji wa ujenzi huo.

“Nataka hadi kufikia Julai 15 mwaka huu maboma yote ya madarasa 15 yawe yamekamilika na kuanza kutumika ili wanafunzi wote wawepo shuleni kama agizo lilivyoelekeza, kusiwe na sababu zitakazokwamisha masomo” alisema DC Kyobya.

Katika kufanikisha hilo, afisa elimu sekondari ndg. Fadhili Mvungi ameeleza kuwa, kwa sasa mafundi wapo katika ujenzi uliopo katika hatua mbalimbali za umaliziaji maboma na kuezeka ambapo Saruji na tofali zimeshapelekwa shule husika huku Lori mbili za mbao zimeshawasili kwaajili ya kenchi na madawati, bati zimeshafika kutoka kiwandani na fedha zaidi ya milioni 50 zilishatolewa.

Akiongezea maelezo ya utekelezaji wa agizo hilo, kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara ndg Maisha Mtipa amesema kuwa, madarasa hayo yanajengwa katika Shule za Sekondari Ziwani madarasa 4, Mayanga 3,  Mahurunga 3,  Nanguruwe 2, Ndumbwe 1, Dihimba 1 na Madimba 1 ambapo utengenezaji wa viti na meza kwaajili ya wanafunzi unaenda sambamba na umaliziaji wa madarasa hayo.

Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Jumatatu ya tarehe 29 Juni mwaka huu mara baada ya kufungwa kwa takribani miezi mitatu na nusu kutokana na mlipuko virusi vya virusi vya CORONA vinavyosababisha ugonjwa wa COVI-19, maandalizi ya mazingira na vifaa vya kujihadhari na ugonjwa huo vimeshanunuliwa na elimu inaendelea kutolewa kwa walimu, wanajamii na wanafunzi.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE USAILI February 01, 2021
  • MABADILIKO YA UKUMBI WA KUFANYIA USAILI February 03, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Mtwara DC kufungua sekondari 4 mpya Januari Mwakani

    December 07, 2020
  • Wanaoanzisha migogoro ardhi wapigwa “stop"

    July 06, 2020
  • Naumbu Msangamkuu zanufaika ziara ya DC

    July 01, 2020
  • Halmashauri yapewa wiki mbili kukamilisha madarasa 15

    June 27, 2020
  • Angalia Zote

Video

RC Mtwara ataka mabadiliko Ligula Hospitali
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • New Projects
  • Speeches
  • Organizational Structure
  • Tenders
  • Applications Forms

Kurasa Mashuhuri

  • Tanzania Government Website
  • PO-RAG
  • Public Service Management
  • Mtwara Region Office
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Sehemu

Wasiliana nasi

    Mtwara.

    Anuani ya posta: 528.

    Simu ya Mezani: 023-2333928

    Simu: 023-2333928

    Barua pepe: Mtwaradc@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2020 MTWARA DC . All rights reserved.